Kwa marafiki wa kweli

Huyafurahii maisha bila marafiki? Strange..mishe mishe zakutafuta hela ivi unaupataje huo mda wa kutaka marafiki? Hongera mwaya mie marafiki hata sijui mwisho lini tulikaa tukaongea, niko busy ile mbaya kazi nyumbani watoto mume ndugu... Au huna majukumu?
 
(chorus) Sihitajii marafikiii oh no no no!! Sihitaji marafiki marafiki siwahitaji.... sihitaji marafiki labda badae wakitokea aje mmoja wa kuongea nae na mwingine wa kumuongelea
(Repeat chorus)
 
Rafiki yako no.1 ni Mungu pili kazi/masomo tatu familia yako. Havikutoshi?
 
Samahani wapendwa mimi ni kijana, maisha yangu siyafurahii bila marafiki, please nitafute hapa 0764302787

Sasa mbona haujasema unakaa wapi, una umri gani , jinsia gani, elimu yako, urefu wako, na kadhalika. Nadhani ingekuwa nafuu zaidi na msaada kwetu kuweza kujua cha kufanya...
 
hawana lolote wanataka mialiko ya sikukuu......mana xmass na mwaka mpya yaja.....
Hamna si unajua likizo ya kungoja kwenda form five ni ndefu kwahiyo tuboreka bora tuwe tunachat chat
 
Sihtaji marafiki by fid q ndo dedication yangu kwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…