Aaron
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,019
- 4,693
Tunaanza kuisoma taratibu.. Walianza EFM kumsema makonda vijana wa lumumba wakasema ati wanatetea boss wao kwa kuwa anauza madawa
Leo tena kwa kejeri nimesikia clouds kipindi cha xxl wakisema cheti hakichachi ati bando linaweza kuchacha...na kulitaja kwa Mara ya kwanza mmoja akimtania mwenzake ati akimzingua atamuita Daudi aje amuoneshe kazi....
Sasa vijana wa lumumba njooni mseme tena kama na clouds wanatetea wauza unga.
Leo tena kwa kejeri nimesikia clouds kipindi cha xxl wakisema cheti hakichachi ati bando linaweza kuchacha...na kulitaja kwa Mara ya kwanza mmoja akimtania mwenzake ati akimzingua atamuita Daudi aje amuoneshe kazi....
Sasa vijana wa lumumba njooni mseme tena kama na clouds wanatetea wauza unga.