Madam Principle
Member
- Aug 3, 2016
- 16
- 6
Habari wakuu!!!
Ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Vodacom Tanzania ila najitokeza kuyatoa ya moyoni maana wamezd wizi. Kila siku mnabadili vifurushi lakini hivi vya sasa ni kukomoana jamani yaani 450 vijmb vichache eti saa 24??? Na hizo offa kandamizi acheni kuzipigia promo ila muwe makiini wengi wanhama kutafuta unafuu KAZI NI KWENU na HAPA RISITI TU
Ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Vodacom Tanzania ila najitokeza kuyatoa ya moyoni maana wamezd wizi. Kila siku mnabadili vifurushi lakini hivi vya sasa ni kukomoana jamani yaani 450 vijmb vichache eti saa 24??? Na hizo offa kandamizi acheni kuzipigia promo ila muwe makiini wengi wanhama kutafuta unafuu KAZI NI KWENU na HAPA RISITI TU