Kwa Kamanda IGP na RPC Dodoma

Hivi kwwli majirani mnashindwa kuchomoa hata simu zenu kwa pamoja kurekodi hilo tukio? Unadhani mngetoa simu kwa pamoja angeendelea na upumbavu wake?

Kuna mtu alisema “ NYERERE ANAONGOZA MAITI” Kuna kwa ukweli ndani yake
Hahahahahahha mh jomo Kenyatta
 
Huu ujinga wangefanya kule Kenya tungekua tunaongea mengine. Raia wa Kenya wana uthubutu.
 
Sahihi kabisa
 
Mimi niliendelea na mjukumu yangu mpaka naondoka majira ya saa tisa hakurudi. Sasa Kuna maswali najiuliza ni kwanini askari atumie nguvu kubwa namna Ile kisa kaulizwa kitambulisho cha kazi?
Na alitakiwa aende na kiongozi wa serikali ya mtaa
 
Mngeichoma moto hiyo STM 5771
 
Na Mimi nimewaza kama wewe Gari la serikali linatumiwa na kausha damu kukusanya madeni mtaani choma hilo gari pengine serikali itajua matumizi sahihi ya mali za serikali ukute hiyo Gmicrofinance hata Kodi hawalipi
Walifanya kosa sana
 
Huyo Askari wa kituo kidogo Cha ndasha pale mataa barabara ya DODOMA in anaitwa waziri nilimuona hiyo siku kwenye hiyo gari STM 5771 pale njia Panda ya chamwino ikulu Kuna Askari wanavaa gwanda za polisi ila ni majambazi
 
Naomba kuelekezwa namna ya kuangalia namba ya gari inamilikiwa na nani/ taasisi gani
STM 5771 Toyota Hilux 2.4 double cabin ya kijivu kuna wadau humu watakuwa wameitambua nafkiri huyo mmiliki wa hiyo kampuni ya Gmicrofinance atakuwa na vinasaba vya hiyo gari
 
Mimi niliendelea na mjukumu yangu mpaka naondoka majira ya saa tisa hakurudi. Sasa Kuna maswali najiuliza ni kwanini askari atumie nguvu kubwa namna Ile kisa kaulizwa kitambulisho cha kazi?
Huko nikuto jiamini. Ole wake angemsemesha kiinglish. Hoooooo pangewaka moto
 


Ndo hali ya hii nchi, poleni sana wa Tanzania, wala huna haja ya kuwaambia, haya hufanyika bila kificho na popote.
 
Hao SI ni form 4 na D 2? Akili hamna!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…