johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,338
- 142,570
Kwanza sikuamini kama kweli wale ndio mabalozi wetu huko duniani lakini nilipowaona Dr Possi, Dr Slaa, Dr Migiro na mh Masilingi ndipo nikaamini.
Kiukweli kwa haraka unaweza ukawaona maDC wetu hapa nyumbani wana " shavu dodo" kuliko mabalozi wetu huko ughaibuni.
Labda mkuu Nyani Ngabu type uzoefu wa hali ya maisha huko Merekani ikoje maana kama mabalozi no wakavu hivi nyie kina Ngabu wabebaji hali ikoje?!!
Maendeleo hayana vyama!
Kiukweli kwa haraka unaweza ukawaona maDC wetu hapa nyumbani wana " shavu dodo" kuliko mabalozi wetu huko ughaibuni.
Labda mkuu Nyani Ngabu type uzoefu wa hali ya maisha huko Merekani ikoje maana kama mabalozi no wakavu hivi nyie kina Ngabu wabebaji hali ikoje?!!
Maendeleo hayana vyama!