Kwa Jibu hili la Mzee Butiku nadhani Serikali ya Rais Samia chini ya CCM isione Aibu Kukubali Katiba Mpya kwani kwa sasa haizuiliki kabisa

Kinachoigharimu tume ya sasa watu kutokuwa na imani ni kuruhusu magoli ya kuotea dhidi ya timu pinzani kwa njia ya mapingamizi.Watazamaji wote bila kujali itikadi au elimu zao,waliamini ilikuwa hujuma.Ndo maana wengi wanapenda tume huru kabisa ili haki iweze kutendeka
 
Suala la katiba mpya mpaka sasa ni kama mwiba, hatuoni kama kuna kiongozi mwenye lengo la kuibadili.
Ukiangalia katiba tuliyonayo ni zaidi ya kuwapa mamlaka viongozi wetu. Ndiposa wanapowaza nikiibadili nitabaki kwenye nyadhifa nilionayo au la.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…