Kwa items kama samani na vifaa vya umeme ambavyo nyingi vilikuwa havipo kwenye hali nzuri vinatozwaje kodi tena?

Unforgettable

JF-Expert Member
Aug 1, 2019
5,273
11,773
Jmosi nilibahatika kuudhuria mnada pale sinza wa vitu used kutoka balozi mbalimbali, vitu vilikua tofautitofauti kama magari,furniture,electronics,generators nk

Baada ya kushinda bid ulikua unaenda kulipia cash kwa items ndogondogo na 25% ya items kubwa then unamalizia malipo within 4workn days baada ya malipo unaenda kwenye benchi la TRA kulipia kodi ya ulichonunua.

Kodi zao walikua wanacharge 77% kwa funiture,43% kwa electronics 87% kwenye magari

Swali langu....
Kwa items kama furniture na electronics ambazo nyingi zilikua hazipo kwenye goodshape zinatozwaje kodi tena kwa mnunuzi mnadani wakati hiyo item ishalipiwa kodi wakati inaingizwa nchini

Note;items nyingine zimenunuliwa locally
 
kwa upande wangu sio sawa pia kz navyo fahamu vingi vya mashirika vinavyo pata exemption ni magari sasa kama hadi furniture wanadai chao labda mwenye uelewa zaidi aje hapa atujuze
 
Jmosi nilibahatika kuudhuria mnada pale sinza wa vitu used kutoka balozi mbalimbali, vitu vilikua tofautitofauti kama magari,furniture,electronics,generators nk

Baada ya kushinda bid ulikua unaenda kulipia cash kwa items ndogondogo na 25% ya items kubwa then unamalizia malipo within 4workn days baada ya malipo unaenda kwenye benchi la TRA kulipia kodi ya ulichonunua.

Kodi zao walikua wanacharge 77% kwa funiture,43% kwa electronics 87% kwenye magari

Swali langu....
Kwa items kama furniture na electronics ambazo nyingi zilikua hazipo kwenye goodshape zinatozwaje kodi tena kwa mnunuzi mnadani wakati hiyo item ishalipiwa kodi wakati inaingizwa nchini

Note;items nyingine zimenunuliwa locally
Lipa kodi kwa maendeleo ya Taifa
 
Hukusoma masharti ya mnada kabla hujaingia kuunua bidhaa? Fine tukisema hapa usilipe kodi kwa kuwa vitu ni used ndo tutakuwa tumekupa ahueni ya msamaha wa kodi?
 
Mkuu hizi diplomatic goods zote zinakuwa duty exempted so ikitokea vikauzwa tena locally mnunuzi anatakiwa kulipia ile duty liable for the said goods.

Hivyo ni kawaida wala usihisi kama umeonewa . lipia kodi kwa maendeleo ya taifa lako.
 
Mkuu hizi diplomatic goods zote zinakuwa duty exempted so ikitokea vikauzwa tena locally mnunuzi anatakiwa kulipia ile duty liable for the said goods.

Hivyo ni kawaida wala usihisi kama umeonewa . lipia kodi kwa maendeleo ya taifa lako.

Ha ha ha ha sawa mkuu ingawa kiukweli nililalamika saana
 
S
Jmosi nilibahatika kuudhuria mnada pale sinza wa vitu used kutoka balozi mbalimbali, vitu vilikua tofautitofauti kama magari,furniture,electronics,generators nk

Baada ya kushinda bid ulikua unaenda kulipia cash kwa items ndogondogo na 25% ya items kubwa then unamalizia malipo within 4workn days baada ya malipo unaenda kwenye benchi la TRA kulipia kodi ya ulichonunua.

Kodi zao walikua wanacharge 77% kwa funiture,43% kwa electronics 87% kwenye magari

Swali langu....
Kwa items kama furniture na electronics ambazo nyingi zilikua hazipo kwenye goodshape zinatozwaje kodi tena kwa mnunuzi mnadani wakati hiyo item ishalipiwa kodi wakati inaingizwa nchini

Note;items nyingine zimenunuliwa locally
Sasa kwa nini haukuwauliza hapo hapo??
 
Jmosi nilibahatika kuudhuria mnada pale sinza wa vitu used kutoka balozi mbalimbali, vitu vilikua tofautitofauti kama magari,furniture,electronics,generators nk

Baada ya kushinda bid ulikua unaenda kulipia cash kwa items ndogondogo na 25% ya items kubwa then unamalizia malipo within 4workn days baada ya malipo unaenda kwenye benchi la TRA kulipia kodi ya ulichonunua.

Kodi zao walikua wanacharge 77% kwa funiture,43% kwa electronics 87% kwenye magari

Swali langu....
Kwa items kama furniture na electronics ambazo nyingi zilikua hazipo kwenye goodshape zinatozwaje kodi tena kwa mnunuzi mnadani wakati hiyo item ishalipiwa kodi wakati inaingizwa nchini

Note;items nyingine zimenunuliwa locally
Ungeuliza hapo hapo kwenye mnada
 
Jmosi nilibahatika kuudhuria mnada pale sinza wa vitu used kutoka balozi mbalimbali, vitu vilikua tofautitofauti kama magari,furniture,electronics,generators nk

Baada ya kushinda bid ulikua unaenda kulipia cash kwa items ndogondogo na 25% ya items kubwa then unamalizia malipo within 4workn days baada ya malipo unaenda kwenye benchi la TRA kulipia kodi ya ulichonunua.

Kodi zao walikua wanacharge 77% kwa funiture,43% kwa electronics 87% kwenye magari

Swali langu....
Kwa items kama furniture na electronics ambazo nyingi zilikua hazipo kwenye goodshape zinatozwaje kodi tena kwa mnunuzi mnadani wakati hiyo item ishalipiwa kodi wakati inaingizwa nchini

Note;items nyingine zimenunuliwa locally
Balozi nadhani huwa zina msamaha wa kodi (exemption). Kwahiyo wakiuzia watu binafsi inabidi kulipia kodi baada ya kutokana na umri wa uchakavu (depreciation value)
 
Back
Top Bottom