Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,425
- 9,823
Msalaba sio wa kipa tu, kule mbele walifanya makosa pia walikosa goli nyingi sana za wazi
Hapana lile goli hata Mangungu ana dakaTumpe muda, ni mapema sana kuanza kumkosoa tena kwenye away game
Kwakweli simba ni inawacheza wazuri tatizo pale ni coach yule coach simkubali kabisa..Hujui mpira wewe. Unatoa conclusion kwa mchezaji ktk game moja? Huko mazoezini unajua alimshawishi vp kocha? Ninachoona mm robatinyo hajui kuipangilia vzr mifumo ya timu so far wachezaji wanatunia uwezo wao binafsi.
Golikipa ana jukumu la kuongea na Mabeki wake na kuwapanga maana anaona uwanja mzima kama anashambuliwa au kushambulia.Hili bao la leo ni uzembe wa nani?
We jamaa ulikuwa unaangalia mpira au ndo mashabiki mihemko, kipa alikuwa anaongea saana na beki line yake, mechi hii ya chamazi hajafanya kosa hata Moja.Golikipa ana jukumu la kuongea na Mabeki wake na kuwapanga maana anaona uwanja mzima kama anashambuliwa au kushambulia.
Ayubu haongei chochote na mabeki wake.
Kwa sasa ni mala elfu adake Ally Salim. Yeye aendelee kujifua na kuizoea timu na wachezaji wake na sikujui kama anaongea lugha nyingine zaidi ya Kiarabu.
We kwa uzoefu wako wa kuangalia mechi au hata kuwa mchezaji nakuuliza unijibu.We jamaa ulikuwa unaangalia mpira au ndo mashabiki mihemko, kipa alikuwa anaongea saana na beki line yake, mechi hii ya chamazi hajafanya kosa hata Moja.