Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,422
- 21,116
Kiukweli mafanikio ya msanii Diamond Platnumz hayaji kibahati bahati bali mafanikio yake yanachagizwa na mambo mengi sana achilia mbali suala la kujituma kwa nguvu zake, Diamond ana roho ya utu sana hasa kwa wasanii wenzake hapa nchini japo wengi hawampendi akiwemo hasimu wake mkubwa ambaye hapo awali walikuwa maswahiba sana, hapa namzungumzia Omari Nyembo (Ommy Dimpoz).
Miezi michache iliyopita Ommy Dimpozi alimdhalilisha kwa kiasi kikubwa mitandaoni na uraiani Diamond Platnumz pamoja na mama yake mzazi (Bi Sandra) kwa kueneza habari za uzushi kwamba amelala na mama Diamond mara nyingi sana na pia akaendelea kumchafua Bi Sandra kwamba vijana wengi sana wamemtafuna jambo ambalo liliibua ugomvi mkubwa ambao bado kidogo Ommy Dimpoz apelekwe mahakamani kwa kesi ya udhalilishaji ,lakini yote kwa yote Diamond alimtuliza mama yake na kumsihi amsamehe bure maana hajui alitendalo.
Licha ya Diamond mara kwa mara kutafuta suluhu ili bifu lake na Ommy Dimpoz liishe bado Ommy aliendelea kumvimbia Diamond.
Kwa kifupi Diamond alitaka bifu lao liishe tangu 2014 walipokutana South Africa kwenye tuzo za Afrimma ambapo Diamond alimfuata Ommy na kumpa mkono lakini Ommy aliikataa salamu ile na kujibu majibu ya hovyo, Diamond alilichukululia suala hilo kawaida tu na kupotezea.
Ommy akaona ili amuumize zaidi Diamond akaona atengeneze urafiki na Ali Kiba lakini kumbe anajikomoa mwenyewe kwa maana alizidi kuporomoka kimuziki tangu aunge urafiki na Kiba.
Yote kwa yote Diamond akuyaweka moyoni badala yake alijikita zaidi katika muziki wake ili upige hatua zaidi, na kwa kuonesha kwamba yeye ni mkomavu wa kifikra leo Diamond amempost swahiba wake wa siku nyingi Ommy Dimpoz na kumuombea kwa Mungu amponye haraka ili arudi tena katika shughuli zake za kila siku za kujenga taifa.
Miezi michache iliyopita Ommy Dimpozi alimdhalilisha kwa kiasi kikubwa mitandaoni na uraiani Diamond Platnumz pamoja na mama yake mzazi (Bi Sandra) kwa kueneza habari za uzushi kwamba amelala na mama Diamond mara nyingi sana na pia akaendelea kumchafua Bi Sandra kwamba vijana wengi sana wamemtafuna jambo ambalo liliibua ugomvi mkubwa ambao bado kidogo Ommy Dimpoz apelekwe mahakamani kwa kesi ya udhalilishaji ,lakini yote kwa yote Diamond alimtuliza mama yake na kumsihi amsamehe bure maana hajui alitendalo.
Licha ya Diamond mara kwa mara kutafuta suluhu ili bifu lake na Ommy Dimpoz liishe bado Ommy aliendelea kumvimbia Diamond.
Kwa kifupi Diamond alitaka bifu lao liishe tangu 2014 walipokutana South Africa kwenye tuzo za Afrimma ambapo Diamond alimfuata Ommy na kumpa mkono lakini Ommy aliikataa salamu ile na kujibu majibu ya hovyo, Diamond alilichukululia suala hilo kawaida tu na kupotezea.
Ommy akaona ili amuumize zaidi Diamond akaona atengeneze urafiki na Ali Kiba lakini kumbe anajikomoa mwenyewe kwa maana alizidi kuporomoka kimuziki tangu aunge urafiki na Kiba.
Yote kwa yote Diamond akuyaweka moyoni badala yake alijikita zaidi katika muziki wake ili upige hatua zaidi, na kwa kuonesha kwamba yeye ni mkomavu wa kifikra leo Diamond amempost swahiba wake wa siku nyingi Ommy Dimpoz na kumuombea kwa Mungu amponye haraka ili arudi tena katika shughuli zake za kila siku za kujenga taifa.