Kwa hili, CHADEMA mtueleze ukweli

Kwa hili, CHADEMA mtueleze ukweli

wakimataifa.

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
1,625
Reaction score
558
Wakati wa matokeo ya kura za uchaguzi walikamatwa vijana wenu wakihakiki matokeo na kupelekwa mahakamani. Baadhi ya viongozi walifika mahakamani kwa kuwafariji.

Leo mtuthibitishie ukweli wenu kwa hilo ni kweli, ni vijana wenu?

Kama ni kweli, mlikuwa na lengo gani kwa nchi hii?
 
Halafu jitahidi kufuatilia siasa za Tanzania, japo kwa uchache sana.. Ili uwe na taarifa za kutosha,
 
alaah kumbe ndio maana wameshupalia mambo ya zanzibar ili kutupumbaza wakati katiba ipo na hawataki kuisoma
 
Usaniii huu kauleta lowasa. Tabia za wiziwizi tuu. Wameagiza na kuwaajiri foreigners wakenya, wa Angola sijui na wengineo kuja kudukua kura kwwnye mifumo ya NEC. Hivi kweli shutuma hiz ni kweliiiii
 
Lowasa alisema biasharaya wizi wa kura anaijua. Lakini kumbe alijiandaa na usanii na wizi kwa style ya ajabu
 
Kwani ulisikia wapi kuwa CDM waliwakana wale vijana. Vijana walikuwa wanjumlisha matokeo ya uchaguzi kwani kuna kosa gani hapo.

Labda nikuulize swali, wale vijana wa ccm waliokuwa wanajumlisha matokeo pale Mlimani City walikuwa na mpango gani na taifa hili?
 
Usaniii huu kauleta lowasa. Tabia za wiziwizi tuu. Wameagiza na kuwaajiri foreigners wakenya, wa Angola sijui na wengineo kuja kudukua kura kwwnye mifumo ya NEC. Hivi kweli shutuma hiz ni kweliiiii

kwa maana hiyo richimond amehusika 100%
 
Kama ndio hivyo kwanini wasimshike Lowasa na Mbowe washitakiwe mahakamani ??? Mnawaonea upinzani bure ila ipo siku
 
Ukawa kila mbinu inafeli

1.Walimsimamisha Lowassa, wakamtupa Dr.Slaa -wamefeli
2.Wakamdanganya babu Duni atoke CUF ahamie CDM hata hivyo -wamefeli
3.Wakawadanganya Sumaye na Kingunge waamie Ukawa still -wamefeli
3.Wamedeki barabara za lami ili Lowassa apite -wamefeli
5.Wamekodi vijana wa Mtandao -wamefeli
6.Wamezomea zomea bungeni lakini hotuba ya Magufuli imefunika -wamefeli
7.Walidhani Ndugai ni yule wa mwaka jana atawavumilia -wamefeli
8.Wakawadanganya wananchi eti kura za Lowassa zimeibiwa wakaona kimya -wamefeli
9.Wamesusia sherehe za kuapisha wakidhani ACT wataunga mkono - wamefeli
10.Wameleta Ole Medeye na Sakaya -wamefeli
11.Wamejaribu kutumia msiba wa Mawazo (RIP)kama kete ya kisiasa huko Mwanza, polisi wamestuka-wamefeli
 
Ukawa kila mbinu inafeli

1.Walimsimamisha Lowassa, wakamtupa Dr.Slaa -wamefeli
2.Wakamdanganya babu Duni atoke CUF ahamie CDM hata hivyo -wamefeli
3.Wakawadanganya Sumaye na Kingunge waamie Ukawa still -wamefeli
3.Wamedeki barabara za lami ili Lowassa apite -wamefeli
5.Wamekodi vijana wa Mtandao -wamefeli
6.Wamezomea zomea bungeni lakini hotuba ya Magufuli imefunika -wamefeli
7.Walidhani Ndugai ni yule wa mwaka jana atawavumilia -wamefeli
8.Wakawadanganya wananchi eti kura za Lowassa zimeibiwa wakaona kimya -wamefeli
9.Wamesusia sherehe za kuapisha wakidhani ACT wataunga mkono - wamefeli
10.Wameleta Ole Medeye na Sakaya -wamefeli
11. Wanajaribu kutumia msiba wa Mawazo (RIP) kama kete ya kisiasa Mwanza - watafeli.
 
Acha uchochezi wewe. Msiba wa Mawazo na mada uliyochangia wapi na wapi.
Suala la msiba usifanyie mchezo.
Hamna cha uchochezi wala nini hapo. Kila kitu kipo wazi kabisa. RIP Alphonce Mawazo.
 
Labda nikuulize swali, wale vijana wa ccm waliokuwa wanajumlisha matokeo pale Mlimani City walikuwa na mpango gani na taifa hili?

Ni kweli hivyo ndivyo walivyodai viongozi wa cdm,lkn bado mm na ww hatuujui ukweli wa hili kwn jeshi la polisi limedai limewakamata wakifanya udukuzi. Bado ni kitendawili
 
Back
Top Bottom