ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,576
Kiufupi Kwa Sasa tumefika mahala ambapo dizi hizi tulizoletewa zimekuwa chambo ya kuwapumbaza watu wenye akili ndogo na kuwafanya mafukara.
Mda umefika Sasa zipigwe marufuku Ili watu wajikite kwenye kazi na mila za makabila Yao.
Yaani kwamba huko Ghana Pastor amewataka Waumini wake wa Kike kuvua pants zao(Vyupi) na kuanza kuwanyoa pubic hair(Mavuzi) Kwa kile kinachodaiwa kimuwezesha roho mtakatifu wao afanye kazi yake vyema 😁😁
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1791797163644604793?t=8nsAcOHky_OGBBUGkgBKcw&s=19
My Take
Dini zenu hizo ni chambo Cha kunasa wapumbavu na ndio maana hakuna anseweza kuja hapa kuthibitisha zimemsadia nini zaidi ya Kumfanya punguani.
Mda umefika Sasa zipigwe marufuku Ili watu wajikite kwenye kazi na mila za makabila Yao.
Yaani kwamba huko Ghana Pastor amewataka Waumini wake wa Kike kuvua pants zao(Vyupi) na kuanza kuwanyoa pubic hair(Mavuzi) Kwa kile kinachodaiwa kimuwezesha roho mtakatifu wao afanye kazi yake vyema 😁😁
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1791797163644604793?t=8nsAcOHky_OGBBUGkgBKcw&s=19
My Take
Dini zenu hizo ni chambo Cha kunasa wapumbavu na ndio maana hakuna anseweza kuja hapa kuthibitisha zimemsadia nini zaidi ya Kumfanya punguani.