Kwa hii kozi iliyotangazwa na serikali unaweza kuajiriwa kweli ?

MP CHACHANDU

JF-Expert Member
Dec 4, 2016
875
615
e92fae12d734c32a8ef0662480e8fff0.jpg


Unafanya kazi kama nani ? Na ina faida kweli ?
 
Hayo ni mafunzo kwahy baada ya kumaliza unakwenda kujiajiri mwenyewe au kama serikali pana sehemu watu hao uhitajika watawachukua... Japo kujiajiri ndo mpango mzima.
 
Hayo ni mafunzo kwahy baada ya kumaliza unakwenda kujiajiri mwenyewe au kama serikali pana sehemu watu hao uhitajika watawachukua... Japo kujiajiri ndo mpango mzima.
Ok mkuu ila inaweza kuwa nzuri kama kozi za veta ?
 
Enzi zile ukichaguliwa kwenda secondari unakwenda kwa fundi viatu anakutolea mzigo unashuka nao form 1. Nasikia huko majuu ni wenye fweza tu ndio wanaokwenda kwa mafundi viatu na kuweka order na sis wengine unaenda dukani unanua vilivyotengenezwa kiwandani (mass production).
 
Enzi zile ukichaguliwa kwenda secondari unakwenda kwa fundi viatu anakutolea mzigo unashuka nao form 1. Nasikia huko majuu ni wenye fweza tu ndio wanaokwenda kwa mafundi viatu na kuweka order na sis wengine unaenda dukani unanua vilivyotengenezwa kiwandani (mass production).
mkuu una mafumbo
 
mkuu una mafumbo
Mkuu hiyo ya juu siyo fumbo. Nilipelekwa kwa fundi nikapimwa kiatu (travolta)-na nimafundi wazuri sana na bei poa (sijui siku hizi). Ninachotaka kusema ni kuwa kama fundi ni mzuri kazi zipo nyingi na hiyo ni ajira.
Hicho kipande cha pili huo ndio uhalisia niliosikia huko majuu viatu wanasema vilivyoshonwa kwa mkono havishikiki.
 
Mkuu hiyo ya juu siyo fumbo. Nilipelekwa kwa fundi nikapimwa kiatu (travolta)-na nimafundi wazuri sana na bei poa (sijui siku hizi). Ninachotaka kusema ni kuwa kama fundi ni mzuri kazi zipo nyingi na hiyo ni ajira.
Hicho kipande cha pili huo ndio uhalisia niliosikia huko majuu viatu wanasema vilivyoshonwa kwa mkono havishikiki.
Mkuu nataka nimpeleke mdogo wangu je ? Itamfaa ila kamaliza form four akapata div four 28
 
Mkuu nataka nimpeleke mdogo wangu je ? Itamfaa ila kamaliza form four akapata div four 28
Sawa mkuu lakini la msingi yeye mwenyewe anasemaje yuko tayari na anaipenda? Kama yuko tayari mpeleke kwani moyo wake utakuwa hapo.
 
Sawa mkuu lakini la msingi yeye mwenyewe anasemaje yuko tayari na anaipenda? Kama yuko tayari mpeleke kwani moyo wake utakuwa hapo.
Naomba unishauri mkuu juu ya faida ya hii kozi mawazo yako ni mhimu maana unauzoefu na kozi kama hizi
 
Uku iringa wapo hao jamaaa wa natengeneza viatu vya ngoz ni imara but bei zao nazo juuu
 
Nakumbuka serikali imeshatoa onyo kwenye majeshi yetu ya kuwa hawatakiwi kuagiza viatu nje,nadhani ndo wanaandaliwa hao vijana,ili kila kitu tuwe tunazalisha wenyewe
 
Back
Top Bottom