Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,111
- 18,327
Kuna sababu za foleni ambazo zinatokana na makosa ya ujenzi kwa kutozingatia ubujifu.
Ukiangalia hadi mwisho hii video utagundua tanroad pamoja na contractor kama wangekua wanaweka kipengere cha kutafiti wanataka magari yapite mangapi kwa muda gani nadhani wangekua wanakuja na soluhu bora zaidi na sio kujenga barabara ambayo inakua kama parking.
Ukiangalia hadi mwisho hii video utagundua tanroad pamoja na contractor kama wangekua wanaweka kipengere cha kutafiti wanataka magari yapite mangapi kwa muda gani nadhani wangekua wanakuja na soluhu bora zaidi na sio kujenga barabara ambayo inakua kama parking.