medical doctor
Member
- Jan 17, 2016
- 24
- 23
Ninaamini watanzania hawajali nchi yao.viongozi wanaiba hakuna anaejali.na viongozi wanaiba kwa sababu RAIA hawajali.HV
1.kwa namna gani unaweza fukuza watendaji wa bandari na waziri husika kupangiwa wizara nyingine?
2.kama bei ya mafuta imeshuka toka 150 to 30 barrel mbn Tanzania iko pale pale?nani yuko nyuma ya hii hujuma?na RAIA wako kimya hawasemi lolote wanaendelea kusifia ujinga
3.kama bwana mkubwa ni msafi kwnn wizara yake imepatikana na ubadhirifu ripoti ya CIG?uadilifu wako uko WAP?
4.je bwanamkubwa ataletaje maendeleo wakat amefka hapo kwa kubebwa na hauikulikani nia katangazia WAP?atawakana vipi waliomfikisha hapo alipo?
5.je tangu makontena yakamatwe bandarini wananchi wamepata unafuu gani kimaisha?waliohusika wamechukuliwa hatua gani kama wahujumu uchumi?he hii INA tofauti gani na kikwete aliposema walioiba warudishe?
6.je ni kwel bwanamkubwa hasafiri nje kwa sababu ana uchungu na sisi?je hili haliwezi husishwa na uoga wa kupanda ndege?kumbk kipnd cha kampeni bwanamkubwa alikataa helikopta.je ni uoga au uzalendo?
7.mbn tangu aingie madarakani mamb huko zenji yamekwama?kama ni mzalend kwnn asivunje katiba ya Zanzibar na kuamuru mshindi atangazwe kama kwl mpenda haki?
8.amesema atakuwa RAIS was wa wote mbn upinzani bado wanagan damizwa kwny uchaguz wa mameya?haki iko WAP
9.kama yy mzalendo kwnn asikubali katiba mpya?badala yake wananchi weng wasio na elimu juu ya mamb ya utawala wanashabikia?
10.na mwisho mpk saiv sioni unafuu kwny vifaa vya ujenz je tatz liko WAP?
Kumkubali makufuli ni sawa na kumdhalilisha mzazi Wang alienisomesha
1.kwa namna gani unaweza fukuza watendaji wa bandari na waziri husika kupangiwa wizara nyingine?
2.kama bei ya mafuta imeshuka toka 150 to 30 barrel mbn Tanzania iko pale pale?nani yuko nyuma ya hii hujuma?na RAIA wako kimya hawasemi lolote wanaendelea kusifia ujinga
3.kama bwana mkubwa ni msafi kwnn wizara yake imepatikana na ubadhirifu ripoti ya CIG?uadilifu wako uko WAP?
4.je bwanamkubwa ataletaje maendeleo wakat amefka hapo kwa kubebwa na hauikulikani nia katangazia WAP?atawakana vipi waliomfikisha hapo alipo?
5.je tangu makontena yakamatwe bandarini wananchi wamepata unafuu gani kimaisha?waliohusika wamechukuliwa hatua gani kama wahujumu uchumi?he hii INA tofauti gani na kikwete aliposema walioiba warudishe?
6.je ni kwel bwanamkubwa hasafiri nje kwa sababu ana uchungu na sisi?je hili haliwezi husishwa na uoga wa kupanda ndege?kumbk kipnd cha kampeni bwanamkubwa alikataa helikopta.je ni uoga au uzalendo?
7.mbn tangu aingie madarakani mamb huko zenji yamekwama?kama ni mzalend kwnn asivunje katiba ya Zanzibar na kuamuru mshindi atangazwe kama kwl mpenda haki?
8.amesema atakuwa RAIS was wa wote mbn upinzani bado wanagan damizwa kwny uchaguz wa mameya?haki iko WAP
9.kama yy mzalendo kwnn asikubali katiba mpya?badala yake wananchi weng wasio na elimu juu ya mamb ya utawala wanashabikia?
10.na mwisho mpk saiv sioni unafuu kwny vifaa vya ujenz je tatz liko WAP?
Kumkubali makufuli ni sawa na kumdhalilisha mzazi Wang alienisomesha