Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,425
- 15,981
Hope wote mnaendelea vema na majukumu,
Ebana eeh, kababy walker kangu kalizingua front wheel bearings nikiwa mkoani. Sasa jamaa wa garage akashauri tuagize kutoka Dar, kuuliza bei nikaambiwa kwa bearing moja ni Tsh. 55,000-70,000 nikaona kusubiri spare napoteza muda. Nikanunua moja mtaani ya Tsh. 25,000/- nimaweka kwenye gari nikaendelea na safari.
Kilometer kama 5 mbele gari ikaanza kuunguruma nikajua yes kitu fake kimeshaanga mashindano, ikabidi nijikongoje hadi maskani nikapaki nisubiri muarobaini wa tatizo.
Sasa leo nikasafiri kuja Dar nikaone mambo yasiwe mengi wacha niende straight kwa Toyota dealers pake K/koo nikamueleza nataka front wheel bearing za Allex. Laaahaula, jamaa kasearch kwenye system akaniambia moja ni Tsh. 175,000/- yaani ni mara 6 ya ile niliyoweka na mara 3 ya ambazo jamaa walitaka niagize town.
Nikauliza break pad akanjambia ni Tsh. 215,000/- 🥹🥹 wakati Mchina anatuuzia kwa Tsh. 15,000/-.
Nikaona kwani Tsh. 350,000/- kitu gani wakati nachukua kitu original? Ndio hivyo wakuu nimekwanguliwa Tsh. 350,000/- kwa pair ya bearing.
NB: Remember cheap is expensive, ni afadhari ukachukua kitu og kitacholast kuliko fake utayotumia kwa muda mfupi.
Ebana eeh, kababy walker kangu kalizingua front wheel bearings nikiwa mkoani. Sasa jamaa wa garage akashauri tuagize kutoka Dar, kuuliza bei nikaambiwa kwa bearing moja ni Tsh. 55,000-70,000 nikaona kusubiri spare napoteza muda. Nikanunua moja mtaani ya Tsh. 25,000/- nimaweka kwenye gari nikaendelea na safari.
Kilometer kama 5 mbele gari ikaanza kuunguruma nikajua yes kitu fake kimeshaanga mashindano, ikabidi nijikongoje hadi maskani nikapaki nisubiri muarobaini wa tatizo.
Sasa leo nikasafiri kuja Dar nikaone mambo yasiwe mengi wacha niende straight kwa Toyota dealers pake K/koo nikamueleza nataka front wheel bearing za Allex. Laaahaula, jamaa kasearch kwenye system akaniambia moja ni Tsh. 175,000/- yaani ni mara 6 ya ile niliyoweka na mara 3 ya ambazo jamaa walitaka niagize town.
Nikauliza break pad akanjambia ni Tsh. 215,000/- 🥹🥹 wakati Mchina anatuuzia kwa Tsh. 15,000/-.
Nikaona kwani Tsh. 350,000/- kitu gani wakati nachukua kitu original? Ndio hivyo wakuu nimekwanguliwa Tsh. 350,000/- kwa pair ya bearing.
NB: Remember cheap is expensive, ni afadhari ukachukua kitu og kitacholast kuliko fake utayotumia kwa muda mfupi.