KWA CHAMA CHANGU CCM

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Nachukua fursa hii kukikumbusha Chama changu cha CCM kadri mambo yanavyoenda sasa hivi na matatizo ya kimaisha tunayokumbana nayo sisi wananchi huku mitaani NATABIRI mambo yatakuwa magumu sana 2020 labda itokee miujiza. Chukueni hatua ya haraka kufanya marekebisho.
 
Upinzani tusahau kuingia ikulu.. Jeshi ni la ccm, tiss ni ya ccm.. Polisi wakwao, majaji pia ni wa kwao.. Tume ya uchaguz ni ya kwao.. Yaan kila kitu ni cha kwao unategemea nn
 
Back
Top Bottom