Kwa Babu wa Loliondo

Nilipata dili ya kupeleka wazee wa 3 na wake zao.
Amebaki mmoja tu.(bila mke)
Nilirudi na magadi mengi
Nina kumbu kumbu ya magadi mengi nilirudi nayo.
of coz na mimi nilikunywa.
ulipona mkuu?? pole kwa kupoteza watu wako.
 
Mrema na wassira wapo na wanatarajia kugombea tena mwaka huu
 
David pole sana kwa kuweweseka.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…