Kwa Anayeuza Pikipiki Aina SUNLG

Kwa Anayeuza Pikipiki Aina SUNLG

YUDITHA

Senior Member
Joined
May 5, 2013
Posts
154
Reaction score
28
Natafuta pikipiki aina ya sunlg ambayo haijatumika zaidi ya miezi 6 na haina matatizo. Kama upo tayari kuuza weka picha ya pikipiki hapa na bei yake. Nipo mlandizi kibaha
 
Karibu, mimi ninayo: SUNLG, 125. Niliinunua ikiwa mpya Desemba 2012, ikaanza kutembea Januari 2013 hadi Mei 2013 nilipoamua kuipaki baada ya kijana kunizingua. Iko safi sana ile kitu - picha nitaandaa nikupostie kesho. Bei yake ni nonnegotiable, Tsh 1.5m

Kama una nia PM kwa mawasiliano zaidi. Niko Dar es Salaam na chombo ninacho hapahapa.
 
Poa Weka Picha Ya Pikipiki Then Uko Dar Sehemu Gani
 
Vipi Umeamua Kuharisha Au Ulikuwa Unazuga?
 
Vipi Umeamua Kuharisha Au Ulikuwa Unazuga?

Hapana, sikuwa nazuga, wala sikukusudia nionekane hivyo na kamwe sitakaa nifanye uzugaji. Nimepata shida kuattach hizi picha kwenye JF; tangu jana nimejaribu multiple times unsuccessfully. Kama hutojali, kindly ni-PM email address yako nikutumie sasa hivi.

Niwie radhi kwa yote hayo.
 
ninayo fekoni namba c nauza mill 1.1 ina mwaka mmoja
 
Pikipiki nzuri ni sanlg kuwa makini SAN-LG ni mchina halisi hizo zingine ni kopy tu ya san lg mfano sunlg ni kopy iliyoingizwa na msukuma Ndegesela tajiri wa kahama. kuweni makini na hilo.
 
kwanini wanatuchnganya hivi kwa makusudi hawa wachina??? lengo ni nini hasaaa??

Lengo ni biashara mkuu, hao wengine wanataka wauze kupitia jina la san lg na ndio yenye ubora kuliko hizo nyingine.
 
P6280107.JPG P6280108.JPG P6280110.JPG P6280116.JPG

Weka pesa yako ukanunue kiwanja na uanze ujenzi maramoja...
 
Back
Top Bottom