Naombeni mwenye kujua setting ya internet ya Halotel anisaidie kunijulisha maana nimeweka line yangu kwa simu kila nikiconnect haionyeshi kuwaconnected.
Naombeni mwenye kujua setting ya internet ya Halotel anisaidie kunijulisha maana nimeweka line yangu kwa simu kila nikiconnect haionyeshi kuwaconnected.
name weka Internet
APN weka b-internet
Shukurani mkuu nilifanikiwa Aisee iko poa sana.