Fernando Jr
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,224
- 4,808
Kuna level ya ugonjwa dawa mbadala haisaidiii. Ni kufanyiwa operation tuu. Sasa hili huwa halisemwi....!!! Huwa Ni kanyaga twende.Mdadamwema. Ngoja nikwambie mie nimepitia hiyo changamoto na nimehangaika sana kwa hao wanaojiita watu wa tiba mbadala matokeo yake mke wangu akaishia kubadirishiwa dawa tu kila kitu huku nikitumia pesa kubwa nikakata tamaa ila nilipoenda hospital baada ya kupata daktari bingwa ingawa gharama ilikuwa kubwa kidogo lakini unaona tumaini ni kubwa mwezi uliopita wife kafanyiwa operation ya mirija na akakutwa alikuwa na tatizo lingine kwenye mayai yote yakarekebishwa, cha kujifunza hapa hakuna njia ya mkato kwenye mambo haya hawa watu wa mbadala wanasaidia ila shida yao huwa wakishindwa hawataki kusema wameshindwa ushauri nenda hospital tu
Nani kakwambia kuwa Dawa Mbadala hazisaidii kutibu Mirija ya uzazi iliyo ziba? Operesheni haisaidii kitu hapo. Akifanya operesheni atakuwa ni tasa huyu mdada.Kuna level ya ugonjwa dawa mbadala haisaidiii. Ni kufanyiwa operation tuu. Sasa hili huwa halisemwi....!!! Huwa Ni kanyaga twende.
hivi kinachozibaga humo ni nini hasa? mafuta au?
Ninetumia pamoja na mziwa ziwa. Tangawizi na vitunguu swaum miez 3 mfululizo lkn hamnaunaujua mkunde pori?? kwa huku tanga tunauita mnuka uvundo
chukua miziz yake...
mvuma nyuki unaujua?? hio kama hujatumia jaribuNinetumia pamoja na mziwa ziwa
Tangawizi na vitunguu swaum miez 3 mfululizo lkn hamna
Siujui jamanmvuma nyuki unaujua?? hio kama hujatumia jaribu
nikiuona nitakutumia picha leo nimeutafta maeneo ya jiran na kwangu sjauona ni mti flan hua unatoa maua na vitunda flani vyeusiSiujui jaman
Jani la uzazinikiuona nitakutumia picha leo nimeutafta maeneo ya jiran na kwangu sjauona ni mti flan hua unatoa maua na vitunda flani vyeusi
Siujui jaman
Pole sana kwa tatizo hilo mkuu, naweza kufikiria hali unayopitia, mim nashauri uzingatie pia suala la lishe kwa maana ya mwili kwa ujumla nikiwa na maana kama una uzito mkubwa ni tatizo unaweza kutafuta diet nzuri kupitia washauri wa kisayansi na sio hizi za malimao n.kNdugu zangu naombeni mawazo yenu Mimi mhanga wakutafuta mtoto leo nimepima nimeambiwa mirija ya uzazi imeziba yote. Nimeambiwa nizibuliwe/ nisafishwe.
Naogopa maana maneno ya watu wanadai ukizibuliwa uwezekano wa kupata mimba ni asilimia 2.
Kwa aliyewahi kupitia hili anitoe wasiwasi.
Naweza kupata scientific name ya huu mmea au kwa kizungu waitwaje.unaujua mkunde pori? kwa huku Tanga tunauita mnuka uvundo
chukua mizizi yake
chemsha na maji lita moja..
heb nitumie pic yakeJani la uzazi
scientific name yake siijui mkuuNaweza kupata scientific name ya huu mmea au kwa kizungu waitwaje.
Nataka niutafiti kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app