maisha hayana formula zaa mtt na uwenze kumtunza vizuri tunakimbilia kuzaa matokeo yake tunajaza dunia na mataka taka ukiangalia quality ya watt hakuna kitu kabisandio maana umaskini unazidi kutuandama. unaweza zaa na 20 hata hiyo 40 usifike na unaweza zaa na 40 na ukaishi mpk 90yrs cha muhimu jipange usitegemee kutunzwa na