Kuweni makini na hizo number ni matapeli

Kuweni makini na hizo number ni matapeli

jovin607

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
469
Reaction score
312
b1d3e8dd66ef7bbbb09c25b008090e05.jpg
ce1f78c394d1ba0f6c6b3ab918dea3b8.jpg
 
Muhimu ni kuamakini, nakuepuka tamaa kushinda mtego wa kitapeli ila ukiangaika na namba ni kazi bure!
 
Hhahaaaa,kuna mmoja eti alijifanya ndie aliyemfanyia dawa super feo...
Hahahaha kumbe mkuu huyu jamaa anayejisifia kumpa ndumba supa feo hajamuachaa mtu salama mana hata mm sms hivyo nilipata bana ila nilimkomeshaa
 
Na vipi yule mganga ambaye alitangaza vita na popobawa,... Shenzi asubuhi akajitangaza ashatafunwa tayari na popobawa
 
Hhahaaaa,kuna mmoja eti alijifanya ndie aliyemfanyia dawa super feo...
SUPER FEO NASIKITIKA SANA NIMEKUPA NDANGU NA UMEFUATA MASHERITI NA UMEPATA UTAJILI MKUBWA NA UNANIHESHIMU BABU YAKO UKUMBUKE WEWE NA WENZAKO MWENDAMSEKE PAMOJA NA MANYANYA NILIWASAIDIA BURE NA BAADA YA KUFANIKIWA MULIKUJA KUNISHUKURU TENA NIMEWAPA DAWA AMBAZO HAZINA MATHALA LAKINI MWENZAKO WA MWANZA NIMEMUSAIDIA AKIWA MBALI SIMUFAHAMU ANIFAHAMU ILA KWA HESHIMA YAKO NIMEMUSAIDIA AMEFANIKIWA HATAK KUJA KUSHUKURU ANANITUMIA PESA TU MWAMBIE ASIONE MAGARI YAKE NA NYUMBA ALIZO JENGA AMESHAA SAHAU ALIKO TOKA NAWEWE UJE UCHUKUE DAWA YAKUWEKA KWENYE MABASI YOTE MWENZAKO HUYO UMPE NAMBA ANIPIGIE
 
SUPER FEO NASIKITIKA SANA NIMEKUPA NDANGU NA UMEFUATA MASHERITI NA UMEPATA UTAJILI MKUBWA NA UNANIHESHIMU BABU YAKO UKUMBUKE WEWE NA WENZAKO MWENDAMSEKE PAMOJA NA MANYANYA NILIWASAIDIA BURE NA BAADA YA KUFANIKIWA MULIKUJA KUNISHUKURU TENA NIMEWAPA DAWA AMBAZO HAZINA MATHALA LAKINI MWENZAKO WA MWANZA NIMEMUSAIDIA AKIWA MBALI SIMUFAHAMU ANIFAHAMU ILA KWA HESHIMA YAKO NIMEMUSAIDIA AMEFANIKIWA HATAK KUJA KUSHUKURU ANANITUMIA PESA TU MWAMBIE ASIONE MAGARI YAKE NA NYUMBA ALIZO JENGA AMESHAA SAHAU ALIKO TOKA NAWEWE UJE UCHUKUE DAWA YAKUWEKA KWENYE MABASI YOTE MWENZAKO HUYO UMPE NAMBA ANIPIGIE
Dah!! hii mesej ilifany nitupe lain yang axe..
 
Back
Top Bottom