L LadySwa Member Joined Jan 25, 2009 Posts 77 Reaction score 6 Dec 11, 2012 #1 nyumba yangu ipo Tegeta nataka kuweka umeme wa Tanesco natakiwa kuweka nguzo 2 na kununua Ground cable anayejua gharama zake tafadhali anijuze .
nyumba yangu ipo Tegeta nataka kuweka umeme wa Tanesco natakiwa kuweka nguzo 2 na kununua Ground cable anayejua gharama zake tafadhali anijuze .
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 137,410 Reaction score 271,871 Dec 11, 2012 #2 Mahali pa uhakika pa kupata ukweli ni Tanesco tu , si uende !