kuweka chatroom ktk web au blog

kuweka chatroom ktk web au blog

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,817
Reaction score
5,403
habari zenu wote
tatizo langu leo ni kuhusu kuweka chatrooms ktk blog yangu yaan mtu aweze kusign up,ku sign in na kisha kuchati,kuupload picha na kushare na wengne.nadhani nimeeleweka nitafurah sana nikfanikisha hicho ki2. kuna mtu aliniambia kuwa lazima nitengeneze database,ila sina utalam huo.MSAADA..... mfano ni ile web ya shigongo
grobalpublisherstz.inf
 
Hiyo ishu inahitaji muda kutengeneza database na ni fani za watu huwezi mtu kuumiza kichwa halafu iwe bure mimi naweza sema utanilipa.
 
Una ujuzi gani katika kutengeneza websites) ? hii kitu ni combination ya languages zisizo chini ya 3 (PHP,Javascript,XML,HTML) na database unaweza kutumia mysql,oracle e.t.c... Kama unazifahamu hizo language zilizotajwa hapo juu unaweza kutengeneza your own chatroom tena kiurahisi sana (kama ni programmer mzuri)..... Ukiweza kusema ujuzi wako katika web development ninaweza kukupa some guidance itakayokuwezesha kufanikisha hiyo task

"Give a man a fish and you feed him for a day. Teach a man to fish and you feed him for a lifetime"--
 
Nimeipenda hii kwenye bold.

Una ujuzi gani katika kutengeneza websites) ? hii kitu ni combination ya languages zisizo chini ya 3 (PHP,Javascript,XML,HTML) na database unaweza kutumia mysql,oracle e.t.c... Kama unazifahamu hizo language zilizotajwa hapo juu unaweza kutengeneza your own chatroom tena kiurahisi sana (kama ni programmer mzuri)..... Ukiweza kusema ujuzi wako katika web development ninaweza kukupa some guidance itakayokuwezesha kufanikisha hiyo task

"Give a man a fish and you feed him for a day. Teach a man to fish and you feed him for a lifetime"
--
 
Una ujuzi gani katika kutengeneza websites) ? hii kitu ni combination ya languages zisizo chini ya 3 (PHP,Javascript,XML,HTML) na database unaweza kutumia mysql,oracle e.t.c... Kama unazifahamu hizo language zilizotajwa hapo juu unaweza kutengeneza your own chatroom tena kiurahisi sana (kama ni programmer mzuri)..... Ukiweza kusema ujuzi wako katika web development ninaweza kukupa some guidance itakayokuwezesha kufanikisha hiyo task

"Give a man a fish and you feed him for a day. Teach a man to fish and you feed him for a lifetime"--

html na php hakuna tabu.ila kwenye databas sina ujuz kabsa mkuu
 
Ok kama una ujuzi kwenye Php na HTML nipe email yako baadae nikupe code za chatroom na nitakupa maelezo ya database wewe utaiboresha unavyopenda ww kazi ikiwa nzuri utanipooza kwa soda.

info@nasmiletz.com nakutegemea mkuu
 
Back
Top Bottom