Mmoja wa wenye hikma alisema:
Jihadhari na kuwadanganya wanawake, kwani wana uhodari wa kujua ukweli, na uwezo mkubwa wa kujifanya hawajajua...!
"Mwenye kupoteza penzi la mwanamke muaminifu, amepoteza maisha yake yote"
- Je unajua kwamba......
1- mwanamke akiwasiliana nawe sana inamaanisha hataki kuongea na mwengine..?
2- mwanamke atapata mwanamme bora kuliko wewe kwasababu amejifunza kuchagua kwa jeraha lake.....
3- mwanamke aliyedhulumiwa, mwanamme atamrudia wakati akiwa ameshachelewa... (too late..!!)
4- mwanamke anamiliki hisia ya sita zaidi ya mwanamme kumjua akibadilika au akimkhuni.......!
5- mwanamke anasubiri na kuvumilia sana kuliko mwanamume.. na akimuacha mwanamme basi ni baada ya kujaribu kumuomba msamaha mara elfu..
6- mara nyingi mwanamke akiungulika anapendelea kunyamaza.....
7- mwanamke anaporeact na kukulaumu hii inamaanisha mapenzi yake mingi kwako...
8- mwanamke anapokua amekerwa na mwanamme ananyamaza kwa kutaraji kuwa atabadilika na sio kwa kutojua....
9- mwanamke akizungumziwa na mwanamme kuhusu mwanamke mwengine, huficha kilio chake nyuma ya tabasamu lake.