KUULIZA SIO UJINGA

Mathmention

Member
Joined
Aug 23, 2018
Posts
27
Reaction score
5
Eti credit ya BAM ni sawa na crredit ya PURE MATH ? Pia wakati wa ku apply course ambazo sifa yake uwe na MATHEMATICS je unaweza kutumia BAM kama ndo kigezo chako ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwani BAM na Pure Math ni kitu kimoja, copy ya kitabu cha TCU si unayo!!! Mbona kwa kila faculty kuna maelezo yanaeleweka.
Kuna baadhi ndio BAM anachukua nafasi ya Pure Math ili kumfanya mtu wa PCB mfano kuwa eligible kusoma faculty fulani fulani. Na kuna baadhi haiwezekani.
So kwa kila faculty we angalia requirements vizuri
 
Saw mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…