Kuuliza si ujinga!!!

sylvesterwille

Senior Member
Joined
Nov 29, 2013
Posts
172
Reaction score
41
Jamani naomba kuuliza then mnisaidie kunizibua mackio yangu!
Kunademu flani hv anapendaga sana kukaa namm karibu,na asiponiona anasema hana raha kabisaaa!, na anapokua karibu namm anapendA sana kunishikashikA nakunichekelea! Alafu ukizngatia niMke wa Jamaa flani hvi namjua kwa sura co kiundani zaid.
Je hv inakuaje huyu mwanamke anamaanisha nn au ananizinguazingua tu ilimrad asikose mtu wakuchekacheka naeee!!???
 

Mkalie mbali, mke wa mtu sumu!
 
Mke wa mtu ni sumu baba wewe, ushawahi pata picha cku ukifunaniwa itakuaje?
 

geto kwako una maziwa kwanza maana mke wa mtu ni sumu shehe..
 

Mtombe!!
 
Babu Asprin kwa nini tusianzishe kmpeni maalum ya kuhakikisha likizo za shule zinakuwa siku kumi tu kwa mwaka!!?
 
Last edited by a moderator:
Hadithi njoo, uongo njooo, utam kolea!

hapo zamani za kale palitokea Simba na swala wakawa marafiki, sasa simba haelewi urafiki wake na swala ni wa aina gani!sikumoja. . . . Itaendelea dogo akipata jibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…