Kutunza siri ya mchepuko

Kutunza siri ya mchepuko

Crispin Nyoni

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
413
Reaction score
90
Naomba nizikiri wazi kuwa ni ngumu kwangu kuishi bila mchepuko.Ziko sababu nyingi zinazopelekea kuwa na mchepuko mathalani jinsi anavyokunyenyekea na ubunifu kitandani.

Mchepuko wangu nimeusevu battery down na nimewekea rington ileile ya battery down.Mida hii mchepuho umepiga kutaka kunijulisha anasafiri kwenda Masasi simu ilikuwa jirani na wife.

Akauliza mbona simu iko full ila inasema battry down? Nikasema betri imechoka.Nikajifanya naenda kuchaji sebuleni nikaenda chooni nikapokea simu na ninavyoongea hapa niko chooni.

Naomba ushauri sasa nifanyeje kutunza siri ya mchepuko isijulikane ndani ya nyumba?

Asanteni
 
Crispin Nyoni

Ndo mana Tanzania haiendelei kutokana na watu Kama nyie
 
Last edited by a moderator:
naskia huko dar mvua kubwa sana,wanawake huko wanavaa mifuko ya rambo kichwani,
 
Ipo siku na wewe ata jua una chepuka na yeye ataanza kuchepuka na hakika nakwambia mtu akiaua kuku lipizia hua hashauriki mpaka lengo lake litimie ndio ajirudi na hata akijirudi hato kua kama zamani
 
Kuna dawa ya kuzuia wife asijue wala kufuatilia mambo ya michepuko yako. Yaani utaishi kwa raha na uhuru na michepuko yako. Ni pm namba ya wife wako nimtengenezee hiyo dawa. Seriuosly
 
Kuna dawa ya kuzuia wife asijue wala kufuatilia mambo ya michepuko yako. Yaani utaishi kwa raha na uhuru na michepuko yako. Ni pm namba ya wife wako nimtengenezee hiyo dawa. Seriuosly

Ha ha ha ha ha ha mkuuuuu
 
Hamia chumba self contained. . . . . . hutopata nafasi ya kwenda chooni maili moja na kuchepuka kwa njia ya simu
 
hii dunia ya ss htari ss kw nn ulioa huyo mke ilihali ukijua kuna michepuko inapetipeti vzr. ama walikuolea? ndoa za cku hz mungu atusaidie ambao bado.
NB: vijana ambao hamjaoa mckurupuke hakikisheni unayetak kumuoa ndye chaguo shh? je anakizi vigezo vyote uvitakavyo? co mnakurupuk tu thn inakuw km hv hatariiiiiii
 
Back
Top Bottom