Kutumia Automatic Chickhen Drinker

Kutumia Automatic Chickhen Drinker

CHIEF MGALULA

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2009
Posts
1,190
Reaction score
889
Wakuu Naomba Ambae Anatumia Hizi Bidhaa,uzoefu Wake Na Ikiwezekana Anipe Ushauri Wa Kitaalamu
1473216934011.jpg
1473216970902.jpg
 
How much are they sir.. na zinapatikana wap
 
hiyo moja ina range kwenye 20 elfu na kuendelea ni nzuri maana unakuwa na kijitanki nje ya banda la kuku kwa juu kidogo ili upate msukumo wa maji then unachomeka na hizo paipu mambo yanakwenda jinsi wanavyokunywa maji na jinsi maji yanavyokwisha.....ni nzuri coz unapunguza kazi ya kwenda kuongeza maji kwa kuku lets say ulikuwa unaongeza mara mbili kwa siku ukiwa na kijitanki kikubwa kidogo unaweza ukaweka maji asubuhi mpaka kesho asubuhi.....
 
hiyo moja ina range kwenye 20 elfu na kuendelea ni nzuri maana unakuwa na kijitanki nje ya banda la kuku kwa juu kidogo ili upate msukumo wa maji then unachomeka na hizo paipu mambo yanakwenda jinsi wanavyokunywa maji na jinsi maji yanavyokwisha.....ni nzuri coz unapunguza kazi ya kwenda kuongeza maji kwa kuku lets say ulikuwa unaongeza mara mbili kwa siku ukiwa na kijitanki kikubwa kidogo unaweza ukaweka maji asubuhi mpaka kesho asubuhi.....
Mara ya mwisho niliulizia pale Ilala kwenye maduka ya mifugo ilikua 39,000...weka 40 kwa sasa
 
Mara ya mwisho niliulizia pale Ilala kwenye maduka ya mifugo ilikua 39,000...weka 40 kwa sasa
mi nimetaja bei ya saba saba na kuendelea kama utapita amana(dar) kuna duka pale la mifugo zipo fanya kuuliza bei si unajua hizi bidhaa pale ni buku kule ni buku jero ivyo
 
mi nimetaja bei ya saba saba na kuendelea kama utapita amana(dar) kuna duka pale la mifugo zipo fanya kuuliza bei si unajua hizi bidhaa pale ni buku kule ni buku jero ivyo
Nafkiri unamaanisha maduka hayohayo ya mifugo Niliyopita...adjacent na BOA bank..ndio duka linalouza vitu vya mifugo cheap zaidi
 
mi nimetaja bei ya saba saba na kuendelea kama utapita amana(dar) kuna duka pale la mifugo zipo fanya kuuliza bei si unajua hizi bidhaa pale ni buku kule ni buku jero ivyo
Kuna maduka yana bei pungufu ya hiyo 38,000 kwa Dar unielekeze?
 
Back
Top Bottom