Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,812
- 1,373
Hadithi ya Paul Makonda na Wilson Kabwe inanikumbusha kwenye bible vita kati ya daudi na goliath au kisa cha masihi Yesu Kristo na Pontio Pilato pale alipotakiwa atoe amri ya
kuteswa hadi kufa kwa asiye na hatia ila kuwanufaisha wengi.
Magu nae akawauliza wananchi nimtumbue nisimtumbue nao wakapaza sauti atumbuliweeeeee!!
Another epsode in bongopolitics.
Guess who is next?
kuteswa hadi kufa kwa asiye na hatia ila kuwanufaisha wengi.
Magu nae akawauliza wananchi nimtumbue nisimtumbue nao wakapaza sauti atumbuliweeeeee!!
Another epsode in bongopolitics.
Guess who is next?