Ishu ni bajeti hapo,kutoa yote kwa wanafunzi wote ni pesa nyingi sana....pia kwa jinsi wanafunzi wa chuo walivyo ingeishaa mapema afu mtaanza kusumbua.
boom litakufuata chuoni endapo ulichaguliwa ktk hicho chuo na hukuhama kwani system ya heslb inakutambua kuwa upo ktk chuo ulichochaguliwa lakini kama ukihama chuo inabidi taarifa zako zihamishwe kutoka chuo kimoja kwenda chuo ulichohamia na ukumbuke TCU & HESLB wapo tofauti maana anayekupangia chuo ni TCU lakini pesa ya boom inatoka HESLB sasa kama ukizembea kufuatilia ofisi za bodi ili kujua itakuaje unaweza kukaa hata miezi 6 hujaona boom hata mwaka huwa unapita UNACHOTAKIWA NI KUFUATILIA KWA NGUVU ZOTE ILI TAARIFA ZAKO ZIHAMISHWE KWA HARAKA ILI PESA YAKO YA ADA NA BOOM IKUFIKIE ULIPO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.