Kama ni Mdogo wako au ni kama wewe mwenyewe lakini ndio unasema mdogo wako nenda Hospitali kuangaliwa na Daktari ndio atajuwa kutopata siku zako kwa njia ya kwaida kunasababishwa na nini ? atakupa dawa au atakupa ushauri wa kufanya ikishindikana hujapona wewe au huyo ndugu yako uje hapa utupe feedback ndo ndio tutaweza kukusaidia pasipo na kwenda hospitali hutapata msaaada wowote ule hapa jaribu fanya hivyo kisha uje tena hapa kueleza umefikia wapi?
Bibie
Chocs hujambo lakini?