Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Mwanzoni mwa Mwaka 2005 kulishamiri kundi moja la watu maarufu hapa TZ liloitwa Wanamtandao. kundi hili lilianza rasmi mwaka 1995 ambalo vision na mission yake ni kuongoza Serikali ya JMT(URT). mwaka 1995 walishindwa kutimiza ndoto yao baada ya Late Mwl JK Nyerere kuwastukia hasa pale walipomkodishia ndege kada wao kwenda Dodoma ili akachukue fomu za kugombea Urais kupitia CCM na kisha nyerere kuhoji ikiwa leo wanatumia ndege kuchukulia fomu wakifika ikulu itakuwaje?