Naomba msaada wenu wajameni, mke wangu amepata bahati mbaya mimba imetoka kwa hiyo baada ya kusafishwa hospital.
Baada ya muda gani ataweza kuanza kutafuta ujauzito?
Naomba msaada wenu wajameni, mke wangu amepata bahati mbaya mimba imetoka kwa hiyo baada ya kusafishwa hospital.
Baada ya muda gani ataweza kuanza kutafuta ujauzito?
Naomba msaada wenu wajameni, mke wangu amepata bahati mbaya mimba imetoka kwa hiyo baada ya kusafishwa hospital.
Baada ya muda gani ataweza kuanza kutafuta ujauzito?
Naomba msaada wenu wajameni, mke wangu amepata bahati mbaya mimba imetoka kwa hiyo baada ya kusafishwa hospital.
Baada ya muda gani ataweza kuanza kutafuta ujauzito?
Pole sana.Ningeona cheti chake baada ya kusafishwa, ila kwa uzoefu ni vzr mama akapumzika walau 2-4 years, ukihitaji azae mapema nitafute PM.
Pole kwenu