Biohazard
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 2,197
- 1,459
Hivi hili neno kukojoa ndo mahala pake kweli. Waweza kukojoa huku ukifanya mavituz kweli...? Duh...! Basi www utakua mtu hatari sana. Mie nshajaribu nilipoingia kwenye hii sayari ya mapenzi lakini mpaka leo haijawezekana hii ki2kama unaogopa tumia ndomu mkuu.Kwanza inaletaga usumbufu katikati uchomoe dahh.Madhara ni kwamba utakuwa umejikojolea mwenyewe badala ya kumkojolea mtu.