Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,928
- 1,164
Kiukweli sijalazimishwa kuitumia kutumua hii huduma, lakini huduma hii Ni ya kinyonyaji Sana.
natambua umuhimu wa huduma hii, lakini gharama wanazochaji Ni kubwa mno ukilinganisha na kiwango cha fedha kinachotolewa, nimekuwa nikitumia benki kwa muda mrefu kwa ajili ya masuala ya kifedha, gharama wanazochaji Ni ndogo Sana, mfano kutoa fedha crdb kwa Mara 1 Ni sawa na tzs 700, tena ile ikiwa kama benki iliyisajiliwa kisheria na BOT.
PIA imelipa bima ya 5b, inatoa huduma kwa gharama nafuu zaidi.
cha kusikitisha hizi kampuni za simu ambazo zimesajiliwa kutoa huduma za mawasiliano chini ya TCRA, kwa madai kuwa "service zao Ni reliable" wakati Kila sila siku tunaambiwa mtandao wa m fedha haupatikani, sasa hiyo reliability sijui ipo kwenye nini, au Ni vile natembea na simu yangu na siyo ATM.
cha kushangaza kingine Ni kwamba hizi huduma za mpesa unaambiwa sasa zinapatikana hata kwenye ATMs mbalimbali, kiukweli hii imenishangaza na nashindwa kuelewa tofauti Kati ya mawasiliano na huduma za kibenki,
hata kwa akili ya kawaida mtu anaweza tambua kuwa hizi Ni taasisi mbili toauti zinazoendeshea na sheria mbili tofauti, yaani TCRA Act na BOT Act.
swali langu iweje zifanye kazi ya aina moja?, na kwa vifungu vipi??
tena mbaya zaidi kwa unyonyaji wa hali ya huu...TCRA, na BOT mpo wapi? Au na nyinyi mna 10% Ku authorize mambo kinyume na sheria?.
nimekuwa nikijaribu Sana kukwepa hizi huduma za m fwedha, maana huwa nikitumiwa hela kwa m fwedha, naihamisha thru simbanking, then naenda kuitolea via ATM kwa gharama nafuu Mara kumi ya ile ya M fwedha,
kinachonisikitisha ni vyombo husika vimekaa kimya, wakati huku mtanzania akinyonywa ki style, hii haina tofauti na Yale ya TCRA na Startimes.
my take, hii TCRA iangaliwe, ma benki msiwe vibaraka, wenye nguvu kiserikali humu JF, do something jamani.
natambua umuhimu wa huduma hii, lakini gharama wanazochaji Ni kubwa mno ukilinganisha na kiwango cha fedha kinachotolewa, nimekuwa nikitumia benki kwa muda mrefu kwa ajili ya masuala ya kifedha, gharama wanazochaji Ni ndogo Sana, mfano kutoa fedha crdb kwa Mara 1 Ni sawa na tzs 700, tena ile ikiwa kama benki iliyisajiliwa kisheria na BOT.
PIA imelipa bima ya 5b, inatoa huduma kwa gharama nafuu zaidi.
cha kusikitisha hizi kampuni za simu ambazo zimesajiliwa kutoa huduma za mawasiliano chini ya TCRA, kwa madai kuwa "service zao Ni reliable" wakati Kila sila siku tunaambiwa mtandao wa m fedha haupatikani, sasa hiyo reliability sijui ipo kwenye nini, au Ni vile natembea na simu yangu na siyo ATM.
cha kushangaza kingine Ni kwamba hizi huduma za mpesa unaambiwa sasa zinapatikana hata kwenye ATMs mbalimbali, kiukweli hii imenishangaza na nashindwa kuelewa tofauti Kati ya mawasiliano na huduma za kibenki,
hata kwa akili ya kawaida mtu anaweza tambua kuwa hizi Ni taasisi mbili toauti zinazoendeshea na sheria mbili tofauti, yaani TCRA Act na BOT Act.
swali langu iweje zifanye kazi ya aina moja?, na kwa vifungu vipi??
tena mbaya zaidi kwa unyonyaji wa hali ya huu...TCRA, na BOT mpo wapi? Au na nyinyi mna 10% Ku authorize mambo kinyume na sheria?.
nimekuwa nikijaribu Sana kukwepa hizi huduma za m fwedha, maana huwa nikitumiwa hela kwa m fwedha, naihamisha thru simbanking, then naenda kuitolea via ATM kwa gharama nafuu Mara kumi ya ile ya M fwedha,
kinachonisikitisha ni vyombo husika vimekaa kimya, wakati huku mtanzania akinyonywa ki style, hii haina tofauti na Yale ya TCRA na Startimes.
my take, hii TCRA iangaliwe, ma benki msiwe vibaraka, wenye nguvu kiserikali humu JF, do something jamani.