BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,042
Jaman tusikate tamaa hasa kwenye suala la kutafuta ajira huwez jua bht yako ipo wapi, kukosekana TAA/TASAC kusikupe mawazo sasa ipo hivi, kama wewe umemaliza chuo mwaka jana 2018 possibility ya utumish kukuchukua ni ndogo sana sababu kuna watu toka 2015 uko hawana ajira na daily wana apply so wanachofanya wanawapa chance wa nyuma kwanza ni chance ndogo wanatoa kwa freshers ndo ipo hivo. Usiniulize nimejuaje ila ndo ipo hivo.
Cha muhimu hakikisha profile yako una attach vitu muhimu wanavyo hitaji mfano wengi hatujaweka recomendation letter hasa hii ni muhimuu sana.
Cha mwisho tuendlee fight, na tuwatakie kila la kheri kwa wale mlioitwa kwenye usaili, msichezee bahat hio. Bahat wanasema hairudii mara 2
Cha muhimu hakikisha profile yako una attach vitu muhimu wanavyo hitaji mfano wengi hatujaweka recomendation letter hasa hii ni muhimuu sana.
Cha mwisho tuendlee fight, na tuwatakie kila la kheri kwa wale mlioitwa kwenye usaili, msichezee bahat hio. Bahat wanasema hairudii mara 2