Sasa Konnie, mimi na urembo tena wa kutinda nyusi wapi na wapi jamani...
Sasa Konnie, mimi na urembo tena wa kutinda nyusi wapi na wapi jamani...
Kama kichwa cha miguu kinavyojieleza.
Sijawahi tinda nyusi, ila kutokana na evolution ninayopitia nataka nianze kutinda. Nasikia ukitinda kwa wembe jicho linakomaa na kutinda kwa uzi inauma kama nini.
Kuna wengine wanatinda kwa twiza(matamshi sio maandishi) haiumi sana na ni nzuri, ni wapi wanatoa huduma hiyo?
Afu mods, tuwekeeni basi ki sub-sub-sub forum cha urembo? Najua fani imevamiwa.
cc snowhite King'asti watu8
Kama kichwa cha miguu kinavyojieleza.
Sijawahi tinda nyusi, ila kutokana na evolution ninayopitia nataka nianze kutinda. Nasikia ukitinda kwa wembe jicho linakomaa na kutinda kwa uzi inauma kama nini.
Kuna wengine wanatinda kwa twiza(matamshi sio maandishi) haiumi sana na ni nzuri, ni wapi wanatoa huduma hiyo?
Afu mods, tuwekeeni basi ki sub-sub-sub forum cha urembo? Najua fani imevamiwa.
cc snowhite King'asti watu8
Ushauri wangu.. Kwa hiyo style ya picha unayotaka hapo angalia jicho lako na space kati ya nyusi na jicho..kama space ni kubwa hiyo style itakubali kama ni ndogo haiwez.. Na hautapendeza hizo nyusi nene nene..
Umezoea hivi?