colence john
New Member
- Feb 5, 2016
- 4
- 3
Habari wakuu,
Mimi ni fundi ninayeanza(beginner) wa vifaa mbalmbal vya umeme hususa Ni cm sasa nimekutana na changamoto wakat nafungua monitor iliyoingiliwa maji ghafla ile mikanda inayoshika kioo ikaachia nilipowasiliana na fundi mwenzang akaniambia ile mikanda inagundishwa kwa kutumia gundi maalum ambayo hata upatikanaji wake sio mwepec sasa najua kwa ishu ya wayeknolojia walio humu wanaweza kupatkana wenye experience na vitu hvo tushee idea
Mimi ni fundi ninayeanza(beginner) wa vifaa mbalmbal vya umeme hususa Ni cm sasa nimekutana na changamoto wakat nafungua monitor iliyoingiliwa maji ghafla ile mikanda inayoshika kioo ikaachia nilipowasiliana na fundi mwenzang akaniambia ile mikanda inagundishwa kwa kutumia gundi maalum ambayo hata upatikanaji wake sio mwepec sasa najua kwa ishu ya wayeknolojia walio humu wanaweza kupatkana wenye experience na vitu hvo tushee idea