Tumpara Dudu
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 660
- 600
Wakubwa shkamooni,wadogo marahaba,warika langu,zamda huu?
Kama heading ijielezavyo hapo juu. Ikiwa ww ni mtaalam wa computer science na unaweza ku creat software itakayoniwezesha kudhibiti mapato yote ya shule kimahesabu ya comp na kujuwa kiingiacho na kitokacho hata kama nikiwa barabarani na smartphon yang au laptop yangu,kufuwa maendeleo ya wanafunz,kujuwa uwajibikaji wa walimu na staff wengine ktk kazi, pia iwe software ambayo mtu yeyote anaweza kuwa na access nayo kwa shart la ku creat acount na kuwa na pswd maalum but awe na mipaka(asiweze kufuta mahesabu bila ya aproval yang) NJOO HAPA TUJADILIANE NAMNA YA KUFANYA KAZI
Kama heading ijielezavyo hapo juu. Ikiwa ww ni mtaalam wa computer science na unaweza ku creat software itakayoniwezesha kudhibiti mapato yote ya shule kimahesabu ya comp na kujuwa kiingiacho na kitokacho hata kama nikiwa barabarani na smartphon yang au laptop yangu,kufuwa maendeleo ya wanafunz,kujuwa uwajibikaji wa walimu na staff wengine ktk kazi, pia iwe software ambayo mtu yeyote anaweza kuwa na access nayo kwa shart la ku creat acount na kuwa na pswd maalum but awe na mipaka(asiweze kufuta mahesabu bila ya aproval yang) NJOO HAPA TUJADILIANE NAMNA YA KUFANYA KAZI