Na kufatilia mambo ya mondi na mzee wake,
Mtoto wa kajal na rayvany
Mambo kama hayo media na watu wanazungumzia kuanzia asubuhi mpk usiku
Wiki nzimaaaa
Tz kuna watu wanafanya mambo mazuri
Tatizo media zetu hawafatili issue zao
Media zenu wao wanataka mambo ya fulani
Kafumaniwa na nani?
Ona tu wadangaji wanavyopewa airtime ya kutosha
Huu ndio ubunifu sasa sio bunifu ambazo zinafanyika Bongo ambazo zipo miaka 50 nyuma. Yes tumia simple materials ila iwe bora kuliko ya sasa sio vinginevyo