MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Habari wanajamvi
Leo nilipokuja ofisini nimemkuta office mate wangu amevimba jicho la upande wa kushoto, Kuuliza kulikoni shost akanisimulia kuwa amepigwa na mpenziwe. Nikamaka kisha nikamwuliza kisa? akanambiia walikuwa na kajiugomvi kao kama siku mbili zilizopita wakawa wamechuniana kila mmoja na hamsini zake........
Jana jioni mpenzi wake yule alimfuata nyumbani kwake akaanza kumpapasa ili apatiwe 'starehe' lol ...... binti akauchuna akagoma kata kata kuufungua 'mlango wa club'. Shemeji yangu yule hasira zikampanda yakamtoka ya kumtoka mitusi mara oh unaye bwana ndo mana umeninyima mimi..... almradi yakamtoka tu ya kumtoka (nadhani ni frustrations!) na mwisho akammalizia na kibao cha shavu........ akatimka zake (sikuamini wakati nasimuliwa hayo!!)
Mwisho wa mazungumzo, shost akanipa mtihani, kaniuliza swali eti.
" Kosa langu nini hadi anipige? tumekorofishana halafu yeye anakuja anadai 'chachandu' si ni haki yangu kukataa au nakosea?"
Nimeshikwa na kigugumizi, nimempoza nikamwambia tuliza kwanza hasira halafu kesho ukija tutazungumza! Ila ukweli ni kuwa sina jibu la kumpa
Je wanajamii.......... Is it possible kutenganisha hivi vitu viwili?
Leo nilipokuja ofisini nimemkuta office mate wangu amevimba jicho la upande wa kushoto, Kuuliza kulikoni shost akanisimulia kuwa amepigwa na mpenziwe. Nikamaka kisha nikamwuliza kisa? akanambiia walikuwa na kajiugomvi kao kama siku mbili zilizopita wakawa wamechuniana kila mmoja na hamsini zake........
Jana jioni mpenzi wake yule alimfuata nyumbani kwake akaanza kumpapasa ili apatiwe 'starehe' lol ...... binti akauchuna akagoma kata kata kuufungua 'mlango wa club'. Shemeji yangu yule hasira zikampanda yakamtoka ya kumtoka mitusi mara oh unaye bwana ndo mana umeninyima mimi..... almradi yakamtoka tu ya kumtoka (nadhani ni frustrations!) na mwisho akammalizia na kibao cha shavu........ akatimka zake (sikuamini wakati nasimuliwa hayo!!)
Mwisho wa mazungumzo, shost akanipa mtihani, kaniuliza swali eti.
" Kosa langu nini hadi anipige? tumekorofishana halafu yeye anakuja anadai 'chachandu' si ni haki yangu kukataa au nakosea?"
Nimeshikwa na kigugumizi, nimempoza nikamwambia tuliza kwanza hasira halafu kesho ukija tutazungumza! Ila ukweli ni kuwa sina jibu la kumpa
Je wanajamii.......... Is it possible kutenganisha hivi vitu viwili?