Kusoma Programming Language

Kusoma Programming Language

JumGem

New Member
Joined
Jul 30, 2017
Posts
2
Reaction score
3
Wakuu naomba kuuliza hizi kitu(html,css,javascript & phython) mtu akitaka kuzisoma si chini ya muda gani atatumia kuzimaliza zote na ni njia gani nzuri anaweza itumia kuzisoma iwe hata ni ya kulipia
Screenshot_20200221-155217.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
html 1 week
css 1 week
javascript 2 week
python 3 week hiyo ni kusoma kuimaster itategemea na project unazofanya. njia rahisi ni kupitia site kamaa w3schools.com au tutorials point.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
html 1 week
css 1 week
javascript 2 week
python 3 week hiyo ni kusoma kuimaster itategemea na project unazofanya. njia rahisi ni kupitia site kamaa w3schools.com au tutorials point.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Hujawa mkweli kaka, labda kama yeye tayari ni developer wa lugha nyingine ndio iwe rahisi na kumchukua muda mfupi kiasi hiki, Pyhton 2 weeks??? Mimi hapa kipindi najifunza Pyhton nilitokea kwenye lugha zingine ila ilinichukua several months.

Mleta mada kwa ushauri wangu acha kujipangia muda, haya madude ukipanga muda utayachoka, kwanza kabisa hamna jinsi unaweza ukasoma language yoyote na kuimaliza, mimi hapa nina miaka kumi kwenye fani hii na sina lugha hata moja niliwahi kusema nimeimaliza, chukulia kama way of life, kitu cha kufanya kila siku, jitose humo humo na kuanza kuzisoma, kwa mfano nenda kwenye website ya W3schools hakikisha umefanya exercise zote humo kwenye website yao, usipende copy pasting, uwe unaandika mwenyewe.

Pia hakikisha kwa kila lugha unayopitia, kuna vitu vya msingi unavifahamu moyoni, yaani hata ukiamshwa kwa vibao utaziandika muda wowote. Hiyo ina maana uwe unafanya practice kila siku. Binafsi huwa najipa dk 15 kwa kila lugha ambayo ipo kwenye kapu langu, kujikumbushia na kujiongezea chochote humo, hivyo kila siku masaa matatu huishia kwenye kusoma na kutafiti kisha ndio ninaanza kazi zangu za kawaida.
 
Dah! Hujawa mkweli kaka, labda kama yeye tayari ni developer wa lugha nyingine ndio iwe rahisi na kumchukua muda mfupi kiasi hiki, Pyhton 2 weeks??? Mimi hapa kipindi najifunza Pyhton nilitokea kwenye lugha zingine ila ilinichukua several months.

Mleta mada kwa ushauri wangu acha kujipangia muda, haya madude ukipanga muda utayachoka, kwanza kabisa hamna jinsi unaweza ukasoma language yoyote na kuimaliza, mimi hapa nina miaka kumi kwenye fani hii na sina lugha hata moja niliwahi kusema nimeimaliza, chukulia kama way of life, kitu cha kufanya kila siku, jitose humo humo na kuanza kuzisoma, kwa mfano nenda kwenye website ya W3schools hakikisha umefanya exercise zote humo kwenye website yao, usipende copy pasting, uwe unaandika mwenyewe.

Pia hakikisha kwa kila lugha unayopitia, kuna vitu vya msingi unavifahamu moyoni, yaani hata ukiamshwa kwa vibao utaziandika muda wowote. Hiyo ina maana uwe unafanya practice kila siku. Binafsi huwa najipa dk 15 kwa kila lugha ambayo ipo kwenye kapu langu, kujikumbushia na kujiongezea chochote humo, hivyo kila siku masaa matatu huishia kwenye kusoma na kutafiti kisha ndio ninaanza kazi zangu za kawaida.
Mkuu nimeongea kwa namna vile mimi nasoma nikishajifunza basic za lugha fulani nikaweza kuperfom CRUD operation kwangu nahesabu nimekamilisha hesabu zangu zime base kwenye utaratibu huo mammbo mengine unajifunza ukiwa na project fulani inayotumia lugha hiyo huwezi amini C# nimejifunza siku tatu vingine nimejifunza huku nadevelop inventory system inayofanya kazi mpaka sasa.
 
Mkuu nimeongea kwa namna vile mimi nasoma nikishajifunza basic za lugha fulani nikaweza kuperfom CRUD operation kwangu nahesabu nimekamilisha hesabu zangu zime base kwenye utaratibu huo mammbo mengine unajifunza ukiwa na project fulani inayotumia lugha hiyo huwezi amini C# nimejifunza siku tatu vingine nimejifunza huku nadevelop inventory system inayofanya kazi mpaka sasa.

Ndio maana nikasema kama umetokea kwenye lugha nyingine, hiyo freshi lakini kama ndio uko mweupe unaanza hujui variable kitu gani....
 
Hivi kujua languages zaid ya 1 kuna faida gan?

Hizi lugha zinapishana kwa sababu tofauti, unakuta hii nguvu yake ni kwa business enterprise systems, hii nguvu yake iko kwenye network programming, sasa ukikumbana na mahitaji tofauti inakubidi uchague lugha ipi ya kutumia hapo.
 
Mkuu nimeongea kwa namna vile mimi nasoma nikishajifunza basic za lugha fulani nikaweza kuperfom CRUD operation kwangu nahesabu nimekamilisha hesabu zangu zime base kwenye utaratibu huo mammbo mengine unajifunza ukiwa na project fulani inayotumia lugha hiyo huwezi amini C# nimejifunza siku tatu vingine nimejifunza huku nadevelop inventory system inayofanya kazi mpaka sasa.

Kama ni basic sawa ila hapo bado sana
 
Hizi lugha zinapishana kwa sababu tofauti, unakuta hii nguvu yake ni kwa business enterprise systems, hii nguvu yake iko kwenye network programming, sasa ukikumbana na mahitaji tofauti inakubidi uchague lugha ipi ya kutumia hapo.
ah
alright
 
Back
Top Bottom