Check these
1.una stress zozote?
2.Una jambo unalisubiria kwa hamu
3.Je unasoma neno la Mungu mara kwa mara? maana kama usipokuwa na uelewa wa jinsi Roho yako inavyoona kiu na njaa juu ya neno la Mungu, unaweza kuitafsiri kama njaa ya tumbo la chakula.
Kama unavyokula kila siku nafsi yako pia inahitaji, maana hupata njaa na kiu.