Kama unayo irushe tena ,au hukuwahi kuihifadhi ,hapa saa ingine inaonekana wapo na woga ,sasa wakiondoa wewe unaiweka mpaka watazoea.
Maana wengine hutoka majumbani na visasi ,wakiwa na hasira kuwa akiingia kwenye kumodereti ataifuta topiki ya fulani au fulani,hivyo tokea nyumbani atokako anakuwa na mawazo hayo na akifika anafanya kweli,ila usichoke iweke tu ,mwisho wake ataisoma na kuifahamu kuwa ni mada murua kabisa,unajua saa ingine hawa mamodereta huingia na jazba ya kasumba za kichama au kidini ,au kama haitoshi huwa amevuta au amepuliza au zaidi itakuwa amekunywa mvinyo ,yote hayo yanawezekana sasa akiingia hapa huwa akili zake sio timamu na machale yanamcheza kuona kilichoandikwa ni hatari kwa usalama wa JF si unajua ukitafunwa na nyoka. Japo walitusifia baada ya kutoka Rupango kuwa sasa JF ni safe heaven na imekamilika kidemokrasia ,lakini ukiangalia utaona imekuwa ni sehemu iliyovamiwa na viwavi jeshi.