Kusafiri ndani ya afrika mashariki

Kusafiri ndani ya afrika mashariki

Taured

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2010
Posts
805
Reaction score
696
Naomba mwenye ufahamu anijuze mm ni mtamzania nataka kwenda Rwanda je nahitaji kuwa na passport? Au ni free kwa sababu ya jumuia moja ya afrika mashariki? Na kama ni kulipia ni shs ngapi maana nitakaa huko kwa sikun10
 
Ni wazo zuri mkuu kufanya matembezi kama haya ,unajifunza mengi na kupata informations nyingi tu za upande wa pili,ILA KITU CHA KWANZA KABLA HUJAANZA HATA KUFIKIRIA HIZI SAFARI PASSPORT NI MUHIMU!!!,huwezi vuka mpaka wa nchi nyingine bila utambulisho huu,na elewa kuna tofauti kubwa kati ya passport na visa(ni muhimu nalo hili ulielewe)ila kwa habari nzuri kwetu nchi nyingi za SADCC unahitaji kuwa na passport tu kuzitembelea.
 
Nashukuru kwa ushauri wako
 
Unaweza kuchukulia temporary passport mpakani mkuu, ila wambie kuwa unadharura either unakuja msibani au utafute sababu nyingine otherwise utarudishwa..
Kalibu Kigali
Asante Dkt,Hali ya maisha Kigali yapoje kwa ujumla wake?hotels nk
 
Kigali poa hoteli ya wastani unapata kwa frw 25,000 hiyo ni self contained with wifi breakfast included..
Lakini hata 10000Frw unapata pakulala yote inategemea na budget yako.
 
Sehemu gani kuna watanzania wengi,au wanyarwanda wenye asili ya tz??
 
Huwezitoka nje ya nchi yako bila pasport. Ea is a visa free so unaondoka tu kama unaenda morogoro ila bodre lazima ugongewe pass yako
 
Back
Top Bottom