Kurugenzi Mawasiliano ya Ikulu, mnafeli wapi? Mmetoa wapi tabia ya kukejeli uongozi uliopita?

VAPS

JF-Expert Member
Jul 10, 2012
5,610
13,160
Hongereni sana mnafanya kazi kubwa kuwa daraja muhimu na mkuu wetu

Rejeeni video clip ya karibuni habari njema ya maboresho zoo ya Ikulu ni njema kabisa. Tatizo mmeweka maandishi ya pongezi Magufuli na Baba wa Taifa.

Kwamba Magufuli karejesha ubora wa zoo ya Magogoni kama zama za Mwalimu, kwamba baada ya Mwalimu walitoweka. Tuheshimu watangulizi wetu haikuwepo haja kuweka maneno kama ya kanga kwa ujumbe ule murua. Kwa bahati mbaya Mkuu aliwahi kutamka lawama awamu za awali katika hotuba rasimi, sidhani aliwatuma muandike vile katika clip.

Watanzania tuna hulka na desturi kuheshimu wazazi, wazee na watangulizi wetu. Huu ujinga wa kukejeli na kubeza watangulizi sio utamaduni wetu.

Kwa taarifa zaidi kuhusu Wanyamapori kurudishwa Ikulu, tembelea Wanyama pori waipamba Ikulu, Hongera sana Rais Magufuli
 
Na hao hao TBC CCM,siku akiondoka aliyepo/ kama kweli ataondoka ,watakuja kusema aliyeondoka hakufanya kitu,kurugenzi ya mawasiliano Ikulu ni chombo cha heshima sana,hapa kwetu kiliishia kwa Salva,kwa sasa tuna MC.
 
Pundamilia, Swala, ngedere et al wamejaa kibao kwenye mapori ya Tanzania; ukiwa na mamlaka kama ya raisi kuwaweka ikulu sio tatizo issue ni upkeep costs.

Halafu sidhani kama ni wanyama wageni sana ikulu kwa kuangalia clip wanyama pori hawako very comfortable vile round humans kiasi kwamba umshikie tawi na ajilie kwa maringo bila ya wasiwasi lazima wamekuwepo kwa muda mrefu hadi kuwa comfortable karibu na binadamu.

Kila kitu ilimradi wamsifie Magu
 
Utotoni pale ikulu tulizoea kuwaona tausi haswa kule karibu na senyenge inayopakana na ofisi ya makamu ya rais.

Hata mitaa ya Gymkhana na Karimjee tulizoea kucheza nao tukiwa watoto wadogo,

Ni jambo la furaha sana kuona ongezeko la wanyama katika eneo la ikulu, ndio nembo ya utalii wa asili tuliojaliwa na Mungu.
 
Utotoni pale ikulu tulizoea kuwaona tausi haswa kule karibu na senyenge inayopakana na ofisi ya makamu ya rais.

Hata mitaa ya Gymkhana na Karimjee tulizoea kucheza nao tukiwa watoto wadogo,

Ni jambo la furaha sana kuona ongezeko la wanyama katika eneo la ikulu, ndio nembo ya utalii wa asili tuliojaliwa na Mungu.
Bado habari hii haijakamilika,msifie kidogo Magu kama ilivyo desturi yetu mkuu.

dodge
 
Utotoni pale ikulu tulizoea kuwaona tausi haswa kule karibu na senyenge inayopakana na ofisi ya makamu ya rais.

Hata mitaa ya Gymkhana na Karimjee tulizoea kucheza nao tukiwa watoto wadogo,

Ni jambo la furaha sana kuona ongezeko la wanyama katika eneo la ikulu, ndio nembo ya utalii wa asili tuliojaliwa na Mungu.

Kwa vile Ikulu imeshahamia Dodoma itabidi na hao wanyama wahamishwe....!
 
Hawawezi kuacha.. maana kejeli zinaanzia juu, kumbuka hii.... wastaafu wanawashwawashwa
 
Utotoni pale ikulu tulizoea kuwaona tausi haswa kule karibu na senyenge inayopakana na ofisi ya makamu ya rais.

Hata mitaa ya Gymkhana na Karimjee tulizoea kucheza nao tukiwa watoto wadogo,

Ni jambo la furaha sana kuona ongezeko la wanyama katika eneo la ikulu, ndio nembo ya utalii wa asili tuliojaliwa na Mungu.
Ni kweli kwamba ukiacha hao wanyama wengine ambao wameletwa tena, wale Tausi wamezaliana sana. Ni wajibu wetu tumsifu JPM na awamu ya tano kwa kuwawezesha tausi kupandana kwa raha zao kisha kupata watoto wengi.
Hakika Tausi wameonyesha kuunga mkono juhudi za hapa kazi tuu kwa kuongeza speed ya uzazi na kufyatua.
Katika hili pongezi za dhati zimfikie mzee wetu, nafikiri ni wakati faru nao waunge mkono juhudi ili wawe wengi zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule mhaya alikuwa anafanya kazi kiweledi zaidi, huwezi kumlinganisha na huyu
Na hao hao TBC CCM,siku akiondoka aliyepo/ kama kweli ataondoka ,watakuja kusema aliyeondoka hakufanya kitu,kurugenzi ya mawasiliano Ikulu ni chombo cha heshima sana,hapa kwetu kiliishia kwa Salva,kwa sasa tuna MC.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi wale mlio wagawa kwa mashemeji zetu pale Nairobi, mlituomba kibali?
Utotoni pale ikulu tulizoea kuwaona tausi haswa kule karibu na senyenge inayopakana na ofisi ya makamu ya rais.

Hata mitaa ya Gymkhana na Karimjee tulizoea kucheza nao tukiwa watoto wadogo,

Ni jambo la furaha sana kuona ongezeko la wanyama katika eneo la ikulu, ndio nembo ya utalii wa asili tuliojaliwa na Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom