Abushiri
Member
- Mar 9, 2013
- 8
- 7
Habari WanaJamiiForums,
Naomba uhusike na somo hapo juu, Nimepata hizi taarifa kwa rafiki yangu EDIMUND RUSHAMBYA mwenye namba ya simu 0757068739 baada ya kunieleza kuwa amepotelewa na mtoto wake KELVIN EDIMUND hapo mwezi wa sita mwaka jana Wilayani KAHAMA.
Hivyo basi tunawaomba mtusaidie kutoa taarifa kwa umma, na mtuwie radhi kwa kucheleweshwa kwa taarifa hii kwani hakupata nafasi hii hapo mwanzoni.
hapo chini ni picha ya Mtoto aliyepotea na video ya Baba wa mtoto akiomba kusaidiwa.
wako katika kusaidia umma(jamii)
Naomba uhusike na somo hapo juu, Nimepata hizi taarifa kwa rafiki yangu EDIMUND RUSHAMBYA mwenye namba ya simu 0757068739 baada ya kunieleza kuwa amepotelewa na mtoto wake KELVIN EDIMUND hapo mwezi wa sita mwaka jana Wilayani KAHAMA.
Hivyo basi tunawaomba mtusaidie kutoa taarifa kwa umma, na mtuwie radhi kwa kucheleweshwa kwa taarifa hii kwani hakupata nafasi hii hapo mwanzoni.
hapo chini ni picha ya Mtoto aliyepotea na video ya Baba wa mtoto akiomba kusaidiwa.
wako katika kusaidia umma(jamii)