chief picha yako imenchekesha sana nakumbuka nlitoka na my frend happy na eddo tukaenda jolly pombe zilinyweka sana sana viroba balaa kuja kumtafuta happy haonekani kumbe yupo uvunguni kwa gari la eddo kalala jamani sitasahau nlicheka sana kufika makazi si akataja kujirusha ghorofani kisha bf alikata kumfata wacha alie jamani viroba ni noma.
Sasa jiulize huyo alifikaje kwa tyres??