Habari zenu wakuu....
Naomba kuuliza kwa wenye uzoefu au mafundi ujenzi gharama za kupaua nyumba ya vyumba viwili vyakawaida vya kulala,master moja,choo na bafu vya public,dinning na sebule,stoo na jiko...
Je, kwa makadirio zitaijika bati ngapi,mbao ngapi.
Angalizo: Nataka kupaua kwa kutumia mabati ya migogngo mipana gage 28 na mbao za treated.